Rais Samia: Tutapiga marufuku hospitali yoyote kuzuia miili ya marehemu kuchukuliwa na ndugu zao hata kama gharama za matibabu aliyopatiwa marehemu azijalipwa. Tutakuja na mfumo wa kuhakikisha jamaa ya marehemu wanalipa gharama, lakini sio kuziwia miili ya watu waliotangulia mbele ya haki...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 kupitia tiketi ya CCM leo, Agosti 28, 2025, katika Viwanja vya Tanganyika Peckers, Kawe, Dar es Salaam.
https://www.youtube.com/watch?v=vGoVYh_ObHU
Mwenyekiti Mstaafu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.