ufunguzi wa kampeni za ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Rais Samia: Tutapiga marufuku hospitali yoyote kuzuia miili ya marehemu kuchukuliwa na ndugu zao hata kama gharama za matibabu hazijalipwa

    Rais Samia: Tutapiga marufuku hospitali yoyote kuzuia miili ya marehemu kuchukuliwa na ndugu zao hata kama gharama za matibabu aliyopatiwa marehemu azijalipwa. Tutakuja na mfumo wa kuhakikisha jamaa ya marehemu wanalipa gharama, lakini sio kuziwia miili ya watu waliotangulia mbele ya haki...
  2. 05CUBA

    Kama utani ila hiki chama kinazidi kutuletea madudu, leo hii wanaanza kuforce watu kushiriki kampeni zao

    Nimeona hii kitu nimesikitika sana. ... ila TZ Inawenyewe.. kabla ya kampeni au baada atadondoka mtu
  3. P

    GE2025 Uzinduzi wa Kampeni za CCM Viwanja vya Kawe, Agosti 28, 2025

    Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 kupitia tiketi ya CCM leo, Agosti 28, 2025, katika Viwanja vya Tanganyika Peckers, Kawe, Dar es Salaam. https://www.youtube.com/watch?v=vGoVYh_ObHU Mwenyekiti Mstaafu wa...
Back
Top Bottom