Udelele ni mate mazito yanayomtoka mtu labda kama ni punguani au ana matatizo
Dovuo ni mate mazito yanayomtoka mtu akiwa usingizini, huwa yana harufu kali
Udenda ni mate yanayomtoka mtu kutokana na kutamani kitu kama mapochopocho nk
Mara moja moja ukiamka asubuhi utakuta vialama vya udenda..(Kidogo)
Hii ni kawaida..
Ikitokea ukilala unatoa udenda mwingi kupita kiasi huenda shida ikawa ni:-
-Unazalisha mate mengi hasa wakati wa usiku
-Upande unaolalia (Mara nyingi ukilalia upande wa kusho au kulia)
-Misuli ya mdomo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.