udenda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Si kila mate ni udenda, jua aina nyingine za mate

    Udelele ni mate mazito yanayomtoka mtu labda kama ni punguani au ana matatizo Dovuo ni mate mazito yanayomtoka mtu akiwa usingizini, huwa yana harufu kali Udenda ni mate yanayomtoka mtu kutokana na kutamani kitu kama mapochopocho nk
  2. AFYACHAP

    Sababu zinazofanya utoe udenda wakati umelala

    Mara moja moja ukiamka asubuhi utakuta vialama vya udenda..(Kidogo) Hii ni kawaida.. Ikitokea ukilala unatoa udenda mwingi kupita kiasi huenda shida ikawa ni:- -Unazalisha mate mengi hasa wakati wa usiku -Upande unaolalia (Mara nyingi ukilalia upande wa kusho au kulia) -Misuli ya mdomo...
Back
Top Bottom