uchaguzi2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BigTall

    GE2025 Muinja Maingu: Nimeridhika Na Uteuzi, Nitabaki CCM

    Mwanachama wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Muinja Maingu, amesema ameridhishwa na mchakato wa uteuzi uliofanywa na chama hicho kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao, akibainisha kuwa ataendelea kubaki ndani ya CCM na kuunga mkono maamuzi ya chama. Akizungumza mara baada ya kutangazwa...
  2. W

    PreGE2025 Dkt Malisa awasilisha ombi la kupinga Samia kugombea Urais 2025

    Moshi. Aliyekuwa kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Godfrey Malisa, amewasilisha maombi kortini akiomba uanachama wake ulindwe, ili afungue maombi ya kupinga mchakato wa kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais. Dk Malisa amewasilisha ombi hilo akiomba mahakama itoe zuio la muda...
Back
Top Bottom