uchaguzi wa chadema

General elections were held in Tanzania on 25 October 2015. Voters elected the president, members of Parliament, and local government councillors. By convention, the election was held on the last Sunday of October and was supervised by the National Electoral Commission (NEC). Political campaigns commenced on 22 August and ceased a day before the elections.
The incumbent president, Jakaya Kikwete, had served out two terms, the maximum allowed under the law, and was ineligible to run for a third term. Chama Cha Mapinduzi (CCM), the country's dominant ruling party, selected Works Minister John Magufuli as its presidential nominee instead of the front-runner, former Prime Minister Edward Lowassa. After failing to secure the CCM's nomination, Lowassa defected to the opposition Chadema party despite it once labelling him as "one of the most corrupt figures in Tanzanian society". This year's election was seen as the most competitive and unpredictable in the nation's history.
The government had warned politicians to refrain from engaging in witchcraft, and a deputy minister told parliament that reports linking politicians with the killings of people with albinism could be true as it increases during the election period. A ban on witch doctors was imposed in January 2015, as some of them condone the killings due to superstitious beliefs that the victims' bodies "possess powers that bring luck and prosperity".
On 29 October, CCM's Magufuli was declared the winner of the presidential election ahead of Chadema's Lowassa, who has yet to concede amid a dispute. In the National Assembly election, the CCM maintained its supermajority in parliament, but key figures in the previous cabinet suffered defeats in their constituencies. Chadema securing its largest-yet number of seats.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone Mwamba

    Ernest Mgawe: Uchaguzi wa CHADEMA kwenye ulimwengu wa kiroho, ulikuwa ni uchaguzi wa Mungu na Dola

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jimbo la Kibamba Ernest Mgawe amesema katika uchaguzi wa chama hicho ulifanyika Januari 2025 ulikuwa na upande pili upande wa kiroho na upande wa kimwili. Ambapo kwa jinsi ya kimwili uchaguzi ulipoisha wale wale viongozi walipaswa...
  2. M

    Kwa Uroho wa Madaraka walionao CCM Siku wakifurushwa wanaweza kuunda kikundi cha Uasi, Nimejifunza Uchaguzi wa Chadema

    Nimekaa Nimetafakari namna gani mwanadamu anaweza akalewa madaraka mpaka kumpelekea kuwa teja au mraibu wa madaraka, Mtu yeyote mwenye uraibu wa kitu fulani basi huwa yupo tayari kufanya kitu chochote ili aweze kupata tiba ya uraibu, na mfano ni pale teja anapokosa madawa ya kulevya wakati...
  3. Tlaatlaah

    Je, uongozi mpya wa CHADEMA ukiacha kuropoka na CHADEMA wakiacha kuporomosha matuasi, uko tayari kuwapongeza kuacha tabia hizo zisizo na ustaarabu?

    Wanaojiengua kutoka chadema kwa wakati huu, Wanadai uongozi mpya wa chadema taifa umepoteza uelekeo na badala yake umekua ukiongozwa kwa matamko yasiyotokana na vikao vya chama na badala yake kila kiongozi wa chadema huropoka kadiri anavyoona inafaa, huku uropokaji huo ukisindikizwa na...
  4. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Salum Mwalim: Uchaguzi wa CHADEMA ulikuwa na uongo mwingi sana

    Aliye kuwa Naibu Katibu mkuu CHADEMA Salum Mwalim Baada ya kutangaza kukiacha chama chake cha CHADEMA amefunguka mengi huku akisema Uchaguzi wa CHADEMA ulikuwa na uongo mwingi sana, rafu zilikuwa nyingi na siasa chafu jambo ambalo lilotia doa sana. Soma Pia: Baadhi ya G-55 wakiwemo Benson...
  5. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Wasira: Uchaguzi wa CHADEMA, viongozi wa kitaifa waligawana fito

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema chama hicho kimedhamiria kuleta mapinduzi katika maisha ya wananchi huku akitumia vijembe kwa Chadema kuwa katika uchaguzi wa viongozi wa kitaifa waligawana fito. Soma Pia: Wasira: Watanzania hawana sababu ya kuichagua...
  6. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mwenyekiti CCM Tanga: Tumeshuhudia uchaguzi wa CHADEMA wakitukanana, ni uthibitisho kuwa hawafai kupewa nafasi ya kuongoza nchi

    Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga, Rajabu Abdulrahman Abdallah, amesema wanasiasa wa vyama vya upinzani hawana cha kuwaeleza wananchi juu ya kile walichokifanya, na kwamba wanafaa kupuuzwa. Badala yake, amewataka wananchi wamuunge mkono Rais Samia Suluhu Hassan. Rajabu...
  7. M

    Kwa nini uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya Taifa uliteka watu wengi vile?

    Uchaguzi wa viongozi wa CHADEMA Taifa uliteka watu wengi mithili ya uchaguzi Mkuu wa Nchi. Uliteka kuanzia vijana, wazee, akina baba, akina mama, Watanzania wote pamoja na watu wa mataifa mbalimbali. Usiku ule watu wengi hawakulala wakisubiri matokeo yatangazwe. Hata mimi nilikesha nikifuatilia...
  8. A

    CHADEMA, Wale wote ambao hawataki kuponywa majeraha ya uchaguzi ni vyema wakafunguliwa mlango wa kutokea

    Haya ni maoni yangu binafsi, kuna watu walipanga kumumaliza kisiasa kabisa Lissu ,bahati nzuri kwake kwa nguvu ya umma akaibuka kidedea. Hata huyo Mbowe mnayemsifia ukifuatilia interviews zake zote kabla ya uchaguzi alijawa na kisasi dhidi ya Lissu. Sasa uchaguzi umeisha ila kuna watu kama...
  9. Common Folk

    Raia wengi wanajua kuhusu Lissu kuchaguliwa Mwenyekiti wa CHADEMA kuliko CCM kuteua mgombea wa Urais

    Na kwa sasa hiyo 80% ya raia inasubiri kujua ni nani hasa atakuwa mgombea wa Urais kupitia CHADEMA. Na kufika mwezi wa 7, hiyo 20% ya raia inayojua, huenda ikawa imeshasahau au imeshakosa imani na upande wa wana kijani na kuhamia upande wa pili. Hii itukumbushe kwamba siku zote ukivunja mila...
  10. Mkalukungone Mwamba

    Tundu Lissu: Baada ya ushindi nilipata ahueni

    Zile presha za kupanda na kushuka ni mambo ambayo yalitawala kwenye uchaguzi. ==================== “Nilikuwa na furaha lakini kubwa zaidi nilikuwa na ahueni kuwa sasa imekwisha tumemaliza, zile heka heka zote hatimaye zimekwisha” ~ Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu kuhusu ushindi wake baada ya...
  11. Waufukweni

    PreGE2025 PICHA BORA: Matukio ya Kuvutia ya kukumbukwa Lissu na Mbowe wakati wa Uchaguzi wa CHADEMA Taifa

    Chama cha Demokrasia na Maendelea kimefanya uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti wa Chama Taifa, licha ya chaguzi zingine kufanyika ndani ya Chama ila mafahari hawa wawili walitikisa anga la Siasa ndani na nje ya Tanzania kutokana na uswawishi wao mkubwa Kisiasa. Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu...
  12. R

    Uchaguzi wa CHADEMA umefungua njia kwa wanasiasa kutambua nguvu ya vijana, CCM wamebadili gia sasa wanaenda na vijana siyo wazee

    Kama wewe ni kijana na unaamini katika kulitumikia taifa kama diwani au Mbunge anza kujiandaa kwenda kugombea. Mfumo umebadilika na fikra zimebadilika. Wapiga kura sasa hivi ni vijana na vyama vimebaini umuhimu wa wagombea vijana Kipenga kimepulizwa anzenu kujinoa, msiseme hakuna mtaji. Mtaji...
  13. Just Pray

    PreGE2025 Boni Yai: Mbowe utabakia kuwa Jenerali na kiongozi wangu siku zote, Nitakuwa tayari siku yoyote kupokea majukumu kutoka kwako hata nje ya siasa

    Wakuu ujumbe wa Boni kwa boss wake wa zamani == Freeman Aikaeli Mbowe Kwangu umekuwa siyo tu kiongozi wangu wa chama bali ni mwalimu, mwanafalsafa,mkufunzi,mzazi,mlezi na rafiki wa kweli. Wewe ni mfano wa kuigwaNashukuru kwa kuniamini na kunipa jukumu la kuwa Mwenyekiti wa kampeni zako katika...
  14. Fortilo

    Binafsi nimefurahishwa sana Freeman Mbowe Kukataliwa kwenye Sanduku la Kura

    Niweke wazi msimamo wangu toka awali, kwamba nilikuwa naunga mkono uongozi wa ziada wa Freeman Mbowe kwa miaka mingine mitano. Lakini zaidi ningependa aondoke kwa kupewa heshima anayostahili, sio kubezwa na Kupakaziwa matusi kama vile yeye ni stranger CHADEMA. Kampeni za kumuondoa zimejaa...
  15. Ritz

    PreGE2025 Naiona kambi ya CHADEMA Kaskazini hiyoo inaeenda CCM

    Wanaukumbi Baada ya Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuisha na kupata viongozi wa wapya Mwenyekiti Tundu Lissu, na Makamu wake John Heche. Kama tulivyosikia na kuona hotuba ya Mwenyekiti aliyepita Freeman Mbowe, kuwa uchaguzi umeacha mpasuko mkubwa ndani ya chama ingawa hawa viongozi wapya...
  16. sinza pazuri

    Pole Freeman Mbowe! Umedhalilishwa sana ila Mungu atakulipia

    Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?" Mbowe umedhalilishwa sana. Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila. Umeitwa mlamba asali. Umeitwa mla rushwa. Umeitwa pandikizi la CCM. Umeitwa Mugabe. Umeitwa Nkrunzinza. Tumeambiwa...
  17. Waufukweni

    PreGE2025 Madaraka Nyerere aeleza maoni ya Mama Maria Nyerere kuhusu Uchaguzi wa CHADEMA, asema uchaguzi umeenda vizuri

    Wakuu Madaraka Nyerere, mtoto wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, ameandika kuhusu mazungumzo aliyofanya na Mama Maria Nyerere (ambaye ni Mama yake) kuhusu mwenendo wa Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA uliomalizika hivi karibuni na Tundu Lissu kuibuka mshindi wa Uenyekiti...
  18. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Hashim Rungwe atuma salamu za pongezi kwa Tundu Lissu kufuatia ushindi alioupata kwenye uchaguzi wa CHADEMA

    Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Hishim Rungwe Spunda ametuma salamu za pongezi kwa Mwenyekiti mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu kufuatia ushindi alioupata kwenye uchaguzi wa ndani ya chama hicho uliohitimishwa leo, Jumatano Januari...
  19. O

    Uchaguzi wa CHADEMA umetufundisha jinsi ya kutekeleza demokrasia kwa vitendo, kazi kwenu tume huru

    Tangu CHADEMA kutangaza mchakato wa kumpata Mwenyekiti, wagombea hawakulala, walitoa ya moyoni.Wengi walituhumu, wengine walitoa maneno ya kashifa ili kuvutia kura upande wao, Wenye Hekima na busara walivumilia. Mwisho wa siku uchaguzi umemalizika. Nilichojifunza katika uchaguzi huu ni kwamba...
  20. Stroke

    CHADEMA inahitaji mabadiliko ila sio kwa mtu kama Lissu

    Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe. Ila sio kwa mtu kama Lisu. Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka. Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi. Sasa mtu...
Back
Top Bottom