Hakuna namna ya kuficha ukweli huu kwa mapambo ya maneno: udhaifu wa Rais wa sasa unatokana moja kwa moja na ukweli kwamba hana uhalali wa kisiasa wala wa kimaadili. Huyu si Rais wa ridhaa ya wananchi, bali ni Rais wa nguvu, vitisho, na damu ya raia. Msingi wa madaraka yake haukujengwa kwa kura...
Katika historia ya mataifa, kuna vipindi ambavyo misingi ya utawala imara huonekana kufifia, taasisi zikaishiwa nguvu, na kauli za viongozi zikaanza kutengeneza mipasuko ndani ya jamii badala ya kuijenga. Tanzania, katika miaka ya karibuni, imeingia katika kipindi cha aina hiyo kipindi ambacho...
Wakuu,
Baada ya maandamano vifo vingi vimetokea vikisisabishwa na risasi za polisi. Wachache wamefanikiwa kupata miili ya wapendwa wengi huku wengi wazikinga ndugu zao kwa kutumia nguo, viatu na vitu vingine vya wapendwa wao kutokana na kunyimwa miili hiyo.
Tutumie uzi huu kama rekodi ya wale...
Siri Kali Chumbani Mwangu
Serikali iko ndani mwangu,
Inapanga jinsi ya kulea wana wangu,
Vijiko vya sukari jikoni kwangu,
Hata aina ya fikra za mke wangu.
Sera kali zote dhidi yangu,
Hakuna tena faragha ya kuwa mtu wangu.
Uhuru sasa si wangu,
Bali kauli mbiu moja,
Hakuna kosa dhidi ya...
Wananchi wa Jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro wamepinga wito wa kufanya maandamano tarehe 29 Oktoba, wakisisitiza kuwa wanataka kudumisha amani na utulivu katika kipindi hiki cha kampeni kuelekea uchaguzi mkuu.
Wakizungumza wakati wa kampeni za Mgombea Ubunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt...
Mgombea wa Ubunge katika Jimbo la Peramiho (Ruvuma) kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) , Jenista Mhagama Oktoba 25, 2025 wakati aliposhiriki kwenye Bonanza la Afya, wilaya ya Songea vIjijini llilofanyika katika uwanja wa Tamasha, Peramiho, alitoa wito kwa vijana ifikapo Oktoba 29, 2025...
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni taasisi ya umma, inayozingatia misingi ya kitaaluma, katiba, sheria za nchi, na maadili ya umma, na kujikita katika mijadala yenye tija kwa maendeleo endelevu na mshikamano wa kitaifa. Tunatoa wito kwa Watanzania wote wenye sifa za kisheria kushiriki kikamilifu...
MSIMAMIZI wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 katika Mkoa wa Iringa, Bi. Nuru Sovella, amesema kuwa Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeweka mazingira rafiki na wezeshi kwa watu wenye ulemavu ili kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika zoezi la kupiga kura Oktoba 29, 2025.
Akizungumza na...
KADA wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM), Ezekia Wenje amesema hakuna Mtanzania atakayekubali kuandamana Oktoba 29 kwasababu hakuna msingi wa maandamano yanayotajwa. Akizungumza leo Oktoba 19, kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea urais kupitia CCM uliofanyika mkoani Rukwa Wenje amesema Watanzania ni...
Jioni Ya Leo Viongozi Wa Dini Wakiongozwa Na #SheikhMwaipopo - Wamezungumza Na Waandishi Wa Habari Kuhusu Amani Ya Nchi Yetu, Huku Wakikemea Vikali Maandamo Ambayo Yamepangwa Kufanywa Na Baadhi Ya Watu Wachache Kwa Maslahi Yao Binafsi.
Wakati Wakizungumza Na Waandishi Wa Habari Wamewahasa...
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amewataka wazee wa mkoa huo kuhamasisha jamii kujitokeza kupiga kura Oktoba 29, 2025, na kuhakikisha vijana wanalinda amani ya nchi.
Amesema wazee wanayo nafasi kubwa katika kuchagua viongozi watakaoleta maendeleo, akibainisha kuwa Dodoma ya sasa...
Mgombea Udiwani Kata ya Liganga, Fulco Komba aliyekuwa akigombea kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya kuvutiwa na sera zake za maendeleo.
Tukio hilo lilijiri jana Septemba 30, 2025 katika mkutano wa kampeni wa Mbunge wa Jimbo la Peramiho...
Shamra shamra za mapokezi ya Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan Moshi Mjini zimepamba moto na matembezi kuelekea Uwanja wa Mashujaa yamefana
Wakuu
Mzee Bwege katika mahojiano aliyofanyiwa hivi karibuni amekiri kuwa hakuna mpinzani wa kweli kwa sasa nchini anayetaka mabadiliko zaidi ya Lissu na ndiyo maana walijaribu kumuhona wakashindwa, wakataka kumuua wakashindwa kwa sasa wamemuweka ndani napo watishindwa.
Soma pia >> GE2025 -...