ubungo msewe

Ubungo (Kata ya Ubungo, in Swahili) is an administrative ward in Ubungo District of the Dar es Salaam Region in Tanzania. Makongo and Sinza form the northern and eastern boundaries of the ward. Wards of Mabibo, Makuburi, and Kimara are to the south and west. The ward is home to the University of Dar es Salaam and Ubungo Thermal Power Station. According to the 2012 census, the ward has a total population of 56,015.

View More On Wikipedia.org
  1. Just Pray

    Watu wasiojulikana wavamia na kuchoma moto ofisi ya mtendaji mtaa wa Msewe

    MKuu wa Wilaya ya Ubungo, Lazaro Twange amemuagiza Mkuu wa Polisi, Wilaya ya Kipolisi Kimara/Ubungo kuwatafuta na kuwakamata Watu wote waliovamia na kuchoma moto Ofisi ya Afisa Mtendaji wa Mtaa wa Msewe, na kuteketeza nyaraka na samano zote za ofisi hiyo. Tukio hilo la kuvamia na kuchoma moto...
  2. M

    Kijana alawitiwa na kuchomwa kisu kisha kutupwa nje ya nyumba za watu maeneo ya Ubungo Msewe

    Dar es salaam, leo 26 July kuna kijana anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 16 hadi 17 (jina linahifadhiwa) maeneo ya Ubungo Msewe amepatikana nje ya nyumba akiwa amejilaza huku akivuja damu nyingi sana maeneo yake ya siri yaani sehemu ya haja kubwa chanzo kikidaiwa ni kulawitiwa na...
Back
Top Bottom