ubovu barabara mwanza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    KERO Barabara ya Nyegezi-Mwanza Mjini ni mbovu mno, pia daraja ni dogo na Mkandarasi amelitelekeza tangu Januari 2025

    Barabara ya Mwanza Mjini mpaka Nyegezi imekuwa ni kero kwa muda mrefu kiukweli kwa wakazi wa Mwanza na wengine wanaopita kuitumia. Hii barabara ni mbovu inasababisha foleni hasa maeneo ya Mkuyuni, hili limechangiwa sana na Mkandarasi JASCO ambae tangu Januari 2025 alimwaga kifusi kwa ajili ya...
Back
Top Bottom