Barabara ya Mwanza Mjini mpaka Nyegezi imekuwa ni kero kwa muda mrefu kiukweli kwa wakazi wa Mwanza na wengine wanaopita kuitumia.
Hii barabara ni mbovu inasababisha foleni hasa maeneo ya Mkuyuni, hili limechangiwa sana na Mkandarasi JASCO ambae tangu Januari 2025 alimwaga kifusi kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.