twitter yafungwa tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    PreGE2025 Waziri Silaa: X(Twitter) walianza kuruhusu picha za ngono, ukiona hupati kitu mtandaoni uje Serikali inafanya kazi kumlinda mlaji

    Leo wamekubali bila chenga kuwa wamefungia X sababu ya maudhui ya ngono! Kampeni ya CCM kutaka kufungia mitandao kabla ya uchaguzi inaenda kutimia. Ila😂😂🤣 kwahiyo na Insta inafuata, Youtube, TikTok, Whatsapp, Facebook, zike channel zoteee kwenye TV nazo zitalimwa, hakuna kusikiliza miziki wala...
  2. B

    PreGE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Ali Kawaida: Nilishawahi kusema Mtandao wa X ufungwe ila watu walinibeza

    Mwenyekiti wa UVCCM Ali Kawaida akiongea hivi karibuni kwenye mkutano mkuu wa CCM jijini Dodoma ameendelea kushikilia msimamo wake wa kufungia mtandao wa X ambao aliutoa miezi kadhaa iliyopita "Nilishawahi kusema Mtandao wa X ufungwe ila watu walinibeza bila kujua nini nilichokuwa namaanisha...
Back
Top Bottom