Hizi tuzo za wachekeshaji mwaka jana zilifanyika Februari 14 siku ya Valentine wakamualika hadi Rais kama mgeni rasmi
Mwaka huu nimepita kwenye instagram yao sijaona update yoyote.Tukiwaambia hawa wasanii kuwa huwa wanatumika na CCM kipindi cha Uchaguzi huwa wanakasirika, haya kiko wapi?
Soma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.