tonetone chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Tetesi: Huenda mikutano ya CHADEMA mikoani ikasitishwa wakati wowote kuanzia sasa

    Ukata wa wa fedha wa kiwango kibaya zaidi kuwahi kukikumba chama hicho watajwa. Hali imekua mbaya zaidi baada ya uongozi batili wa Chadema kukosa sifa za kuaccess ruzuku. Na uchangiaji kwenye vibakuli wadoda. Wananchi wagoma kufanywa kitega uchumi. Wanachama hawauamini uongozi mpya wa Chadema...
  2. A

    CHADEMA ni chama cha kumnyonya mwananchi

    Kila shughuli wanatangaza mchango kutoka Kwa wananchi.Hiki kimekuwa chama Cha kinyonyaji ruzuku mnapata kwa Nini msitumie kwenye shughuli za kujenga chama.Kila wakati ninyi ni kuombaomba kwa wananchi imekuwa too much. Vyama viko vingi lakini sijaona wakiombaomba kila wakati.Mbayq zaidi fedha...
  3. Erythrocyte

    Kampeni ya Michango ya Tone Tone yatia fora Bukoba, Hela zahesabiwa hadi usiku mwingi, Mzigo wa kutosha wapatikana

    Hii ndio Taarifa mpya kutokea Bukoba Mjini, unaambiwa watu wameuza Mikungu ya Ndizi ili kuchangia Tonetone ya Chadema. Habari zinaeleza kwamba imebidi waitwe Wahasibu wa dharula kuhesabu fedha za michango hiyo, kiukweli hii ni rekodi Pichani ni hela za kikapu cha kwanza tu, huku taarifa...
  4. Carlos The Jackal

    PreGE2025 Lissu kwa kuanza kuchangisha Tonetone ya Kapu kwenye Mikutano , ni Mwanzo mzuri , Kuna Pesa ilikua inapotea kizembe !!

    Wakati Tonetone ya kidijitali ikizidi kuchanja Mbuga ,,, ni vema Matangazo ya Chama kuwaalika Watanzania mikutanoni yaendelee kuwakumbusha kubeba "Chochote Kwa ajili ya Chama". Pesa za Kwa papo Kwa papo, zitasaidia Shughuli ndogo ndogo za Usafiri, Malazi, Chakula ,n.k !! LISSU NI MSIKIVU...
  5. Tlaatlaah

    CHADEMA haina budi kumtumia Emanuel Nchimbi ili kuboost kampeni yao ya kidigitali ya Tone Tone

    Kwasababu ni zaidi ya wiki sasa chadema inawachangisha wanachadema na wananchi Tanzania nzima na makusanyo hayajazidi million 65, wakati Dr Emanuel Nchimbi, kwa siku moja tu, tena chini ya masaa ma3, halafu ni kwa watu wachache tu, amefanikisha kuchangwa kwa milioni zaidi ya 950, kwajili ya...
  6. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Godbless Lema: Mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Fedha ya chama hicho Godbless Lema ameeleza kuwa mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali ambayo utamuwezesha mtu yeyuote kuchangia kwa kutumia...
Back
Top Bottom