Tindwa amepigwa risasi akiwa kibarazani kwake tu; wala sio kwenye maandamano.
Inaonekana Polisi now hawavai sare zao.
Wanavaa kiraia na wanatumia magari ya kawaida. Wanaofanya matukio haya wamevaa kininja na wanatumia IST.
Pole sana Tindwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.