Tunakuomba mnyazi Mungu, ulisema atakayekuomba utampa, mimi mtanzania nakuomba utujaalie ushindi leo dhidi ya Morocco ili tuingie nusu fainali.
Kila jambo tumelifannya kwa ajili ya nchi leo, tuongeze dua watanzania, dua ya mwisho ni kuujaza uwanja wote ili mipango yetu iweze kufanikiwa zaidi...