SHAJARA YA MWANAMZIZIMA:
DK BUSHIRI TAMIM NIMJUAYE
Na Alhaji Abdallah Tambaza
ALHAJI Dkt. Bushiri Salum Tamim (74), aliyefariki Ijumaa Mei 18, mwaka huu, kwenye Hospitali ya Taifa, Muhimbili, alikuwa si tu daktari wa kawaida aliyestaafu kazi hospitalini hapo; lakini pia alikuwa mmoja wa...
ABDALLAH TAMBAZA NA KLEIST SYKES
Nafungua gazeti la Raia Mwema nimekuta katika ukurasa maarufu wa Shajara ya Mwana Mzizima makala haya, "Huyu Ndiye Kleist Sykes Meya Aliyebuni Mradi wa Mwendokasi."
Abdallah na Kleist ni marafiki toka udogo wao walipoanza kusoma Al Jamiatul Islamiyya School Mtaa...
KALAMU YA ALHAJ ABDALLAH TAMBAZA
''Lakini Abdallah Laatasi, ambaye ni mjukuu wa Diwani Omar Laatasi, anakumbukwa zaidi katika mchango wake katika kufanikisha kupatikana uhuru wa nchi hii; kwani yeye na hayati mkewe Bi Chiku bint Said Kisusa (Mama Sakina); walikuwa mstari wa mbele kukijenga...
VITA YA AZANIA NA TAMBAZA (1993 - 1994)
Mwaka 1993 Jeshi la Sekondari ya Tambaza liliivamia Sekondari ya Azania kutokea Bonde la Jangwani nyuma ya Hospitali ya Muhimbili baada ya juhudi za kutama kusitisha mapigano kushindikana! Kufumba na kufumbua, askari wa Tambaza walirusha makombora na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.