Assalam alaykum
Watu wengi wakisikia neno “Sunnah” hudhani ni jambo la hiari lisilo na umuhimu mkubwa katika dini. Wengine hudhani Sunnah ni mavazi fulani au muonekano pekee. Ukweli ni kwamba Sunnah ni sehemu muhimu sana ya Uislamu, na kuipuuza Sunnah ni hatari kubwa kwa dini ya mtu.
Maana ya...