suleman bungara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    PostGE2025 Bwege: Watawala wanataka kutugawa ili watutawale kirahisi

    "Kuna kitu kimetengenezwa katika nchi hii na watawala ile sera yao susi inaitwa wagawanye watawale ndiyo ambao wanatumia hao watawala ambao wanauroho wa madaraka ninaomba watanzania hiyo sera tuipige vita tutengeneze umoja, ushirikiano tuwe wa moja ili tuiondoe mbegu hiyo mbaya ambayo inapandwa...
  2. Bwege: Waroho wa madaraka wasitufarakanishe kidini

    "KUNA watu wanatengeneza makusudi mgawanyiko kwa maslahi binafsi, tusikubali kugawanyika kwa kuwa sisi sote ni watoto wa Adam na Hawa., tusigawanywe na hawa wataka madaraka na wanaotaka matajiri kwa njia za haramu, kuna kikundi kina madaraka na utajiri ndio wanaotugambanisha. Hawa watu wapo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…