stendi ya kawe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. OleWako

    Vibanda vya Wafanyabiashara wadogo vyabomolewa Stendi ya Kawe (kwa Mwamposa) - Je, kutakuwa na ukarabati au ni ubabe wa mamlaka tu?

    Leo nimekuta vibanda vyote huko stendi ya daladala Kawe kwa Mwamposa vilibomolewa. Baada ya vilio vya muda mrefu vya wakazi na wapanda daladala, serikali inaanza kuchukua hatua za kuboresha mazingira ya stendi au ni kusimamia kwa kanuni za eneo tu? Natumaini sana hatimaye maboresho yatafanywa...
  2. Gemini AI

    KERO Stendi ya Kawe inatutia hasara wenye Daladala, Mashimo yanavunja Spring wakati wanakusanya 1,000 kila siku

    Wakuu, hivi Viongozi wa Kawe wanatuchukuliaje tunaotumia Kituo cha Daladala Kawe? Kituo halifanyiwi matengenezo yoyote wakati kila siku watoza ushuru wanachukua Tsh. 1,000 kwa kila Daladala inaingia kituoni. Hizo hela zinakwenda wapi? Pia soma: Ni aibu Kawe - Dar kuwa na Kituo cha Daladala cha...
  3. Mkalukungone Mwamba

    KERO Mifereji ya Stendi ya Kawe inatoa harufu mbaya sana, kiafya ni hatari

    Mifereji ya Kawe stendi inatoa harufu mbaya sana, na ukizingatia kuna biashara zinafanyika zikiwemo biashara ya kuuza chakula. Harufu inayosambaa katika eneo hilo ni takribani siku 5 sasa, na inavyoonekana ni mifereji ya kupitishia maji imejaa uchafu na kusabisha kutokea kwa harufu hiyo...
Back
Top Bottom