Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ameishauri serikali kubadilisha ratiba ya safari za treni ya reli ya kisasa inayotumia umeme (SGR) kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma na kutoka Dodoma kwenda Dar es Salaam, ili treni hizo ziwasiIi kwenye miji hiyo saa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.