sophia mwakagenda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    GE2025 Mbunge wa CHADEMA, Sophia Mwakagenda akicheza akiwa amevalia nguo za CCM, Juni 30, 2025

    Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Sophia Mwakagenda akicheza pamoja na baadhi ya Viongozi na Wananchi wa Kata ya Itete, Busokelo Mkoani Mbeya huku akiwa amevalia nguo za Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo tarehe 30 Juni, 2025 wakiongozwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni...
  2. G

    PreGE2025 Sophia Mwakagenda anafaa kuwa Mbunge wa Jimbo la Rungwe

    Mwanasiasa machachari ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh Sophia Mwakagenda amewatisha VIGOGO wa Siasa za Jimbo la Rungwe baada ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Jana! Mh Sophia anaomba ridhaa hiyo kwa Chama Jimboni Rungwe huku akiwa na...
  3. W

    PreGE2025 Sophia Mwakagenda ajitosa kuomba ridhaa jimbo la Rungwe kupitia CCM

    Siku chache baada ya kutangaza kuhamia Chama Cha Mapinduzi, aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA, Sophia Mwakagenda leo Juni 29, 2025 amechukua fomu kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea ubunge katika Jimbo la Rungwe kupitia CCM. Pia soma Pre GE2025 - Mbunge Sophia Mwakagenda atangaza...
  4. Waufukweni

    PreGE2025 Mbunge Sophia Mwakagenda atangaza kuhamia CCM baada ya kuvunjwa kwa Bunge la 12, Asema yupo tayari kuungana na Rais Samia

    Mbunge wa Viti Maalumu, Sophia Mwakagenda amesema kuwa baada ya Rais Samia kulihutubia na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atajiunga rasmi na Chama cha Mapinduzi (CCM) kama atapata ridhaa. Soma zaidi: Mbunge Sophia Mwakagenda aitema CHADEMA, Ajiunga rasmi...
  5. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mbunge Sophia Mwakagenda aitema CHADEMA, Ajiunga rasmi na CCM

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya, Sophia Mwakagenda, ametangaza kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM), akisema uamuzi huo unalenga kuendeleza jitihada zake za kuwatumikia wananchi kwa ufanisi zaidi. Akizungumza mbele ya mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja...
  6. Miss Zomboko

    Mbunge: Watu wanaotoa Maoni yao wasipigwe wala kuumizwa na kuitwa Magaidi

    Mbunge wa Viti Maalum, Sophia Mwakagenda ametaka watuhumiwa wasiitwe magaidi kabla ya uchunguzi kufanyika.
Back
Top Bottom