Maonyesho ya 8 ya Kimataifa ya Uagizaji Bidhaa ya China (CIIE) yanafanyika mjini Shanghai. Ikiwa ni maonyesho ya kwanza ya kitaifa duniani yenye mada ya uagizaji, CIIE yanasaidia bidhaa za kilimo za Afrika kupata umaarufu katika soko la China.
Katika maonesho hayo yanayofanyika kila mwaka...