Hivi ni lazima wafanyabiashara wote wakawa wanakimbilia china kufata mizigo yao?
Kwanini wengi hawakimbilii usa au europe kufata bidhaa na kuzileta nchini ilihali jeans saivi ya china dukani unaipata kwa 30k. Na jeans kama levi unaipata kwa kuanzia 40k kuendelea?
Tshirt pia nyingi unazipata...