Kocha wa zamani wa Simba, Pablo Franco ambaye anaifundisha Al-Qadsiah ya Saudi Arabia, alisema Simba inatakiwa kucheza kwa akili na siyo nguvu pekee.
“Berkane ni timu yenye uzoefu mkubwa kwenye michuano ya CAF. Watachelewesha muda na watatumia mbinu nyingi kuvuruga kasi. Simba inapaswa kuwa na...
Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma, maarufu Mwana FA amesema kila bao litakalofungwa katika mechi ya leo dhidi ya RS Berkane litapata bonus ya TSh. Milioni 30.
"Mama amenituma nije kufikisha ujumbe kuwa Bao la Mama hatua ya Fainali ni Milioni 30 na...
Zanzibar wapo strict sana kwa kupenda kuonekana ni nchi ya dini, maamuzi mengi hufanyika kwa msingi wa dini katika mambo yao.
Uwanja wao hawawezi kuruhusu kuufusha, kuingiza mapaka, kumwaga vitu vya ahabu, waganga waliovaa hirizi, n.k. kama tulivyozoea kuona kwa mkapa
Mechi ichezwe kwa Mkapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.