Hii hapa mechi ya kukamilisha ratiba kwa Simba SC dhidi ya Stade Malien kutoka Mali, ambao tayari wameshafuzu hatua ya Robo Fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika (CAFCL) katika Kundi D.
Kwa Simba, huu ni mchezo wa heshima, kwani ushindi utawafanya wafikishe alama 5 badala ya 2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.