Silver Strikers Football Club is a Malawian professional football club based in Lilongwe, currently playing in the TNM Super League, the top division of Malawian football. The club was founded in 1977 as a social team for staff at the Reserve Bank of Malawi, hence the club's nickname The Bankers.
They have won 9 Malawi league titles, one Malawi National Championship, three Malawi FAM Cup and three Top 8 Cups.
I salute you kinsmen
Tumevuka makundi, tumeshinda
Lakini kuna namna tujipange mapema sana huko mbele pagumu sana
Dakika 45 za kwanza Yanga walionesha mchezo ambao tofauti kabisa na ule uliofanyika Malawi wiki iliyopita
1: Kulikuwa na kasi ya mchezo sana
Wachezaji hawakukaa na mali ilikuwa...
Hii match tumeimaliza nje ya Uwanja. Na ubao unasoma tuna goals zisizopungua 3. Leo hawa madogo wanapigika kinyama hasa.
Wameshakubali matokeo. Sisi tupo vizuri na tunaingia uwanjani kuwachakaza hasa.
Wanayanga njooni kwa wingi ushindi ni kama pai 22/7 haibadiliki
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CAFCL, Yanga SC jioni ya leo wataingia uwanjani kurudiana na timu ya Silver Strikers kutoka Malawi
Katika mechi ya kwanza iliyofanyika jijini Lilongwe nchini Malawi, Silver Strikers waliibuka na ushindi wa goli moja kwa bila
Je Yanga leo watapindua...
Kwanza nitoe pole kwa mashabiki na wanachama kwa kipindi hiki kifupi na kigumu tulichopitia tangu timu ilipokuwa chini ya kocha aliyetimuliwa Romain Folz. Kocha huyu alikuwa hana uzoefu wa kutosha kufundisha timu kubwa kama Yanga. Na matokeo yake tuliyaona kwenye mechi alizozisimamia.
Moja ya...
Kikosi cha mabingwa wa Tanzania Bara Yanga, kimeondoka jijini Dar es Salaam leo Alhamini, Oktoba 16, kuelekea Malawi tayari kwa mchezo wa mkondo wa kwanza wa raundi wa pili Ligi ya Mabingwa Afrika, utakaopigwa keshokutwa Jumamosi, Oktoba 18.
Mshindi wa jumla wa mchezo huo atatinga hatua ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.