Wakuu!
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Bia, kinywaji cha zamani zaidi duniani.
Siku hii ya Kimataifa ilianzishwa mwaka 2007 na Jesse Avshalomov huko Santa Cruz, California. Siku hii husherehekea ladha mbalimbali za bia kutoka kote duniani, kuwatambua na kuwashukuru watengenezaji wa bia, wahudumu...
Kwa kutambua juhudi za walevi kwenye uchumi, 2/8 ni siku ya Bia Duniani.
Natoa salute Kwa walevi wote Kwa juhudi zao za kukuza Uchumi Kupitia unuwaji bia ambapo Kwa Tanzania Mapato kutokana na Pombe hufimia karibu Trilioni 1 huku sekta hiyo ikitoa Ajira Kwa maelfu ya watu.
Ni muda muafaka Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.