Kisa cha Siku ya Ashura 🤍
Siku ya Ashura ni siku ambayo Allah alimwokoa Mtume Musa na wana wa Israil kutoka kwa Firauni na jeshi lake. Bahari ilipasuka kwa amri ya Allah, Musa na watu wake wakaokoka, huku Firauni na jeshi lake wakazama.
Mtume Muhammad ﷺ alipofika Madina aliwakuta Wayahudi...