siasa za visiwani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    GE2025 ZEC yawasihi waandishi wa habari kuepuka lugha za chuki wakati wa kampeni

    Vyombo vya habari na waandishi wa habari wameshauriwa kuepuka kutumia lugha za chuki, uchochezi au zinazoweza kugawa jamii kwa misingi ya ukabila, dini au itikadi katika kipindi hiki cha kuelekea kampeni za uchaguzi. Soma pia: ZEC: Vyama Visivyosaini Maadili ya Uchaguzi Havitaruhusiwa Kufanya...
  2. tonicimmobility

    Ameir amerudia tena kusema 'kila mzanzibari atapokea 500,000 kila mwezi' wakimchagua kuwa Rais Tanzania visiwani

    Mtiania urais wa Zanzibar kupitia Chama Demokrasia Makini, Ameir Hassan Ameir (kushoto), amesema iwapo atapitishwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na kupata ridhaa ya wananchi kuwa Rais, kila Mzanzibari atalipwa Sh500,000 kwa mwezi ili kuondoa daraja lililopo la wenye nacho, kwa kuwa wengine...
Back
Top Bottom