siasa za mtandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DR HAYA LAND

    Ushauri :- CHADEMA , kwakuwa wanakubalika sana na Watanzania naomba wawekeze nguvu kubwa kufanya siasa za mitandaoni hiyo pekee inatosha sana

    Kwakuwa Kwa sasa Chadema inafanyiwa hujuma mbalimbali. Naomba wawekeze Katika majukwaa ya mitandaoni , Hizi Hujuma wanazofanyiwa Chadema zisiwe sababu za wao kurudi Nyuma. Tone Tone iendelee kama kawaida iwe online na hela inayokusanywa iwe inatolewa taarifa ili kuanagalia Speed na kuboresha...
  2. Kitchener

    Ushauri kwa CHADEMA kuhusu siasa mtandaoni

    Niende moja kwa moja, nawashauri chadema mkitaka kufanikiwa, wekezeni sana kwenye mitandao ya kijamii, ajirini watu kabisa ikiwezekana. 1. Israel na Hamas vita yao kubwa ilikuwa ardhini, lakini vita kbuwa zaidi ilikuwa mitandaoni. waliajiri watu kabisa ambao akiamka asubuhi hadi jioni anaenda...
  3. funaku

    Serikali isiogope na wala isiendeshwe na posts za mitandao ya kijamii!!

    Wapo wanaoamini kuwa Serikali inaogofya na kuendeshwa na posts za wanaharakati wa mitandaoni. Wapuuzi hawa wanaamini kuwa wakipost tu Serikali inahamaki na kuchukua hatua. Bado wanajiaminisha kuwa posts zao tu zinaamsha hisia za wananchi na jamii ya kimataifa. Wamelekewa hivyo na wameamini...
Back
Top Bottom