Ikulu ya Urusi imepuuzilia mbali mazungumzo ya kufanyika kwa mkutano kati ya Rais wa Urusi, Vladimir Putin, na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, licha ya wito uliotolewa na Rais wa Marekani, Donald Trump, akihimiza viongozi hao kukutana ili kujadili kumaliza vita nchini Ukraine.
Shinikizo la...