Wakuu
Kumbe Musiba alikuwa this critical of Lissu? Yaani how can a man be this petty?
Hapa Musiba alikuwa anajiona ni msaidizi wa Rais na hakuna mtu anaweza kumgusa kwenye nchi hii.
Naomba ninukuu alichokisema kuhusu Lissu kwenye video hii miaka michache nyuma
"Tundu Lissu akienda na...
Mwanasiasa mkongwe wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanadiplomasia, Dkt. Wilbrod Peter Slaa amesema kuwa chadema haipo kwenye uchaguzi wa mwaka huu siyo kwa ajali kwa sababu haina uchu wa madaraka kama kama vyama vingine.
Akizungumza kwa njia ya mtandao na Baraza la Kidigitali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.