siasa bora

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. G

    Sirikali Chumbani Mwangu

    Siri Kali Chumbani Mwangu Serikali iko ndani mwangu, Inapanga jinsi ya kulea wana wangu, Vijiko vya sukari jikoni kwangu, Hata aina ya fikra za mke wangu. Sera kali zote dhidi yangu, Hakuna tena faragha ya kuwa mtu wangu. Uhuru sasa si wangu, Bali kauli mbiu moja, Hakuna kosa dhidi ya...
  2. P

    Siasa bora na safi, hutumia Kanuni na miongozo

    Siasa siyo nguvu ya misuli, bali ni busara ya akili. Haitaki mkurupuko, bali inahitaji utulivu na subira. Haitaki ufuate upepo au uongozwe kiholela, bali inataka uzingatie miongozo na kanuni . #Haijapatakutokea #KurayakwanzaKwaSamia
  3. Magufuli 05

    CCM anguko lenu haliko mbali,Mungu hachelewi na wala hawahi hujibu kwa wakati

    Hiki mnachokifanya na mnachowafanyia watanzania wenye akili timamu kitawarudia. Karma is real. Kama mnadhani watanzania ni wajinga na waoga wote,jibu ni hapana. Ni kweli mtaji wenu ni baadhi ya watanzania kuwa na sifa hizo lakini si wote. Ujinga na uzandiki mnaofanya nyie siyo wa kwanza...
  4. Mkalukungone Mwamba

    Siasa bora ni zile zinazolenga maslahi ya wananchi na maendeleo ya taifa kwa ujumla. Sio za kuleta taharuki na migogoro

    Siasa bora ni zile zinazolenga maslahi ya wananchi na maendeleo ya taifa kwa ujumla. Zinahakikisha utawala bora, uwazi, na uwajibikaji. Baadhi ya sifa za siasa bora ni: Utawala Bora: Serikali inayoheshimu sheria, haki za binadamu, na demokrasia. Hii inajumuisha kuhakikisha mgawanyo wa madaraka...
  5. J

    Mnaohama vyama jifunzeni Hekima kutoka Kwa Prof Kitila Mkumbo

    Wewe ukishahama chama jikite na ya huko ulikohamia Ili kuimarisha Ofisi Yako Mpya Kule ulikotoka mabaya yao waachie wenyewe Kumkumbuka mliyeachana ni dalili za Wivu Jumaa Mubarak 😀😀 Soma Pia: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
  6. Cute Wife

    Haya ndio huwa yanafanyika hata wakati wa uchaguzi ili kupoteza watu kwenye jambo husika, tujifunze kuhakiki taarifa

    Wakuu, Naimani mlikutana na mabango haya yanayoelezea vingozi wa CHADEMA kufanya mkutano na waandishi wa habari, moja likiwa sahihi na mawili yakiwa ya uongo kuwapoteza watu na kuwagawanya wasifuatilie nini kinataka kusemwa na mtu sahihi. Mbinu ni hizi hizi hata kipindi cha uchaguzi, utakuta...
  7. J

    Hapa Duniani kuna Kiongozi ambaye hazungukwi na ndugu na Marafiki katika Utawala wake?

    Nazungumzia katika zama hizi kuna Kiongozi asiyeteua nduguze na Marafiki washiriki kumsaidia katika Uongozi wake? Hii Dunia imebadilika sana Uadui na uovu umetapakaa kila kona Jumaa Mubarak 😃
  8. K

    Ardhi tunayo, tumekosa siasa safi na watu kupiga hatua

    Iliwahi kutajwa kuwa ili tuendelee tunahitaji ardhi, siasa safi na watu. Ardhi ipo hadi yakumwaga, siasa ipo hadi vyuo vikuu isipokuwa imekosa maji na sabuni ili ioshwe iwe safi na hii ni kwasababu nchi haina "watu" wenye uwezo wa kuiosha na kuondoa madoa sugu yaliyoachwa na yanayoendelea...
Back
Top Bottom