Wana JF, uenda hampendi ushauri niutoao – ushauri wa mapenzi, mahusiano na maisha ya ndoa. Lakini nawambia machache tu, kwamba mimi kama mimi, ushauri na maelekezo natoa bila malipo, wala haina haja ya kuudhika kwa ushauri wangu na uonyaji wangu. Wengine wanatuita eti ni Wasukuma, lakini wewe...