sheikh mawinda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. E

    Sheikh Mawinda: Sikumaanisha Lissu auawe

    Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano Dar es Salaam, Sheikh Mohamed Mawinda, amesea kauli yake kuhusu wanaovunja amai nchini aliyoitoa Julai 5, 2025 haikumaanisha kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu auawe. Akizungumza katika uzinduzi wa kanisa la Arise and Shine uliofanyika Julai 5...
  2. Carlos The Jackal

    Huyu Anayejiita Sheikh Mawinda, mwanaCCM wa Kwa Mwaposa, sikieni utetezi wake dhidi ya Kauli ya Kukata Kichwa

    Kila siku nasema, Huwezi kua na Akili yaan Akili na mwenye Elimu ya kutosha isokua na Kona Kona alafu ukafurahia Matendo ya Jinai yaliyo kinyume na KATIBA Kwa KISINGIZO CHA KULINDA AMAN. Ni Hivi anayetishia Amani, nyuma yake kuna sababu, hizo sababu zake ikiwa zimebeba Masilahi makubwa ya Taifa...
  3. Mkalukungone Mwamba

    Sheikh Mawinda: Isifike mahala mkaona amani ni upuuzi puuzi tu,ety tukinukishe baada ya hapo utaenda wapi?

    Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano Dar es Salaam, Sheikh Mohamed Mawinda, leo Julai 5, 2025 amehutubia mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika uzinduzi wa hema jipya la Askofu Mwamposa (Arise and Shine). Katika hotuba yake, Mawinda amesisitiza kuwa Watanzania wanapaswa kulinda amani ya...
Back
Top Bottom