shaffi dauda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    GE2025 Shaffi Dauda achukua fomu kuomba ridhaa ya ubunge jimbo la Temeke

    Mkuu wa Mahusiano ya Kimkakati Clouds Media na Mchambuzi nguli wa habari za michezo nchini Shaffi Dauda ‘Digala’ leo tarehe 30 Juni , 2025 amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi CCM kuwania Ubunge jimbo la Temeke
  2. dr namugari

    Shaffi Dauda ni kijani tupu

    Mimi nilidhani yuko Qatar kumbe karudi ili kuhudhuria mkutano mkuu mkubwa wa CCM utakaofanyika tareh7-8/12/2022 mjini Dodoma. Pia na mimi najiandaa kuanza safari usiku huu kutokea Chunya, Mbeya kupitia Tabora ili kuweza kuudhuria mkutano mkuu huo. Nawasilisha kwa sasa safarini kutokea Chunya...
Back
Top Bottom