shabani kaoneka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Shabani kaoneka ni dhahiri alishindwa kwa pointi

    Binafsi nilifuatilia mpambano huu na mpambano ulikuwa ni mzuri na waamuzi wa mpambano huu walikuwa wakweli na hawakumuonea bondia yeyote. Katika pambano hili ni dhahiri kabisa Shabani Kaoneka alishindwa na hata zile pointi zilizokaribiana na mpinzani wake ni pointi za upendeleo. Kaoneka...
  2. Ushauri wangu kwa bondia Shabani Kaoneka

    Naandika haya baada ya kuibukia huko Arusha kwa kiongozi mmoja wa dini mwenye utata mwingi akitafuta kuombewa kwakuwa anajihisi ana mikosi, mambo yake hayaendi na pengine kuna watu wamemsagia kunguni kiroho kiroho na kimwili. Kwenda kutafuta tiba (ya kiroho) kwa kiongozi wa kidini sio tatizo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…