Katika kampeni zinazoendelea hivi leo mkoa wa Kigoma, Chama cha ACT wazalendo kikiwa katika ufunguzi wa kampeni hizo limeibuka wimbi la wananchi wakimtuhumu Serukamba kuwa ni anatoa rushwa ili apate kura.
Kelele hizo zilisikika mara baada ya Mambo kupanda jukwaani nakuanza kumnadi Kiza Mayeye...
Mwenyekiti mstaafu mkoa wa Chama cha ACT wazalendo mkoa wa Kigoma Bw. Sendwe ameauliza wananchi wa Kigoma kaskazini kuwa ni kwasababu ya rushwa, ameyasema hayo katika ufunguzi wa kampeni za Chama hicho mkoa wa kigomba katika jimbo kigoma kasakzini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.