Akichangia Bungeni Jijini Dodoma Hotuba ya Bajeti Kuu la Serikali ya Ofisi ya Waziri Mkuu Tanzania, Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini, Mhe. Sebastian Simon Kapufi ametoa wito kwa Serikali kuwaangalia vijana ili wasiwe tegemezi badala yake wawe nguvu kazi ya Taifa.
"Idadi ya Watanzania ni...
Mbunge wa jimbo la Mpanda mjini mkoani Katavi Sebastian Kapufi amepiga kua katika kata Ya Nsemulwa kuchagua mwenyekiti wa mtaa na wajumbe wa serikali za mitaa.
Akiwa hapo Kafupi amesema kuwa hali ya watu kujitokeza ni nzuri huku akisisitiza watu kujitokeza mapema kwakuwa utaratibu unaotumika ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.