Sare ni vazi au muonekano maalum katika kundi au taasisi maalum yenye mlengo mmoja!
Miongoni mwa masharti ya kuvaa sare ni:
Unatakiwa kuvaa sare wakati tu unatekeleza majukumu husika na si vinginevyo
Hutakiwi kupigana ukiwa umevaa sare
Hutakiwi kugombea usafiri ukiwa umevaa sare
Hutakiwi...