Samia alitoa ahadi kedekede za kutekelez ndani ya siku 100.
Mpaka leo zimeyoyoma karibia siku 50, yaani %50 ya siku 100 kutekeleza aliyoyahaidi majukwaani.
Je, ametimiza yapi kati ya haya machache aliyojigamba kuyafanya? 😆😆
Mfumo wa Bima ya Afya kwa Wote, kwa awamu ya majaribio
kugharimia...
Na njia pekee ni kukubali tu kuachia kiti na kuacha taratibu zingine ziendelee. Fanya maamuzi yako mwenyewe ya bila kuingiliwa na mtu yeyote, kumbuka maamuzi sahihi yataifanya kesho yako iendelee kuwa njema.
Ukikubali wakakufosi kuendelea, na mkafosi kutangaza umeshinda na uendelee kuwa Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.