Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na mambo aliyoyafanya kwa Taifa anaingia katika rekodi ya Marais bora Afrika.
"Mimi nimewahi kuwa Bungeni, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uongozi wake ndio Rais anayeingia...
RAIS SAMIA TUVUSHE,MATOKEO TUMEYAONA .
Na.Amon Nguma.
Uhai na uendelevu wa viumbe hai na jambo lolote lile Duniani halitegemei uzao tu au mwanzo wake bali ni uwezo mkubwa wa kulinda uhai wa kiumbe au jambo hilo, kulea na kuendeleza katika hatua zote za makuzi/maendeleo mpaka kufikia hatua ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.