salehe ziota

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Abdallah Nyaligwa, anaishi Uingereza, lakini ajitosa kuwania ubunge Jimbo jipya la Itwangi

    Abdallah Nyaligwa, leo Juni 30,2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Ubunge wa Jimbo Jipya la Itwangi, ambalo limegawanywa kutoka Jimbo la Solwa. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025 Nyaligwa mzaliwa wa Itwangi kutoka familia...
  2. DuaZaMama

    GE2025 Salehe Ziota amechukua rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Igunga

    Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eng. Salehe Ziota amechukua rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Igunga Mkoa wa Tabora kupitia tiketi ya CCM. Ziota alikabidhiwa fomu hiyo na katibu wa ccm wilaya ya Igunga mkoani Tabora Ebeneza Mainoya.
Back
Top Bottom