Abdallah Nyaligwa, leo Juni 30,2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Ubunge wa Jimbo Jipya la Itwangi, ambalo limegawanywa kutoka Jimbo la Solwa.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Nyaligwa mzaliwa wa Itwangi kutoka familia...
Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eng. Salehe Ziota amechukua rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Igunga Mkoa wa Tabora kupitia tiketi ya CCM.
Ziota alikabidhiwa fomu hiyo na katibu wa ccm wilaya ya Igunga mkoani Tabora Ebeneza Mainoya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.