sakata la iptl

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Serikali yahaha kulipia IPTL, kwa mara nyingine Kodi za Watanzania zinaenda kulipia makosa ya viongozi wabovu

    Wakuu, Wacha waendelee kutubaragaza mpaka tutoe mlio! ===== Serikali iko mbioni kulipa mabilioni ya shilingi ya walipa kodi, kwa Harbinder Singh Sethi, anayejiita mmiliki wa kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Independent Power Tanzania (IPTL). Mabilioni hayo ya shilingi yatalipwa kwa...
  2. JanguKamaJangu

    Zitto Kabwe: Singh Seth kuendelea kudai kumiliki IPTL na kuisumbua Serikali na TANESCO ni utapeli wa wazi, anakiuka 'Plea Bargain'

    Jana Mjadala wa suala la IPTL kupitia Jamii Media JamiiForums umezuiwa kwa hoja kwamba jambo lipo mahakamani. Sikubaliani na tafsiri hiyo ya jambo kuwa mahakamani kwamba lisijadiliwe. Jambo hili ni la Umma, limeibuliwa na CAG, lazima lijadiliwe. KWANZA naunga mkono msimamo wa uongozi wa...
  3. Cute Wife

    Zimwi la IPTL ni mfupa uliomshinda fisi?

    Baada ya miaka 11 ya kuibuka kwa kashfa ya Tegeta Escrow mwaka 2014 iliyoihusisha Shirika la Umeme (Tanesco) na Independent Power Ltd (IPTL), sakata hilo limeendelea kuibuka kila mara likija na madai kwa Serikali. Jana Machi 27, wakati Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles...
  4. T

    How PAP acquired IPTL for almost nothing and looted US$124m from the BoT

    My take Kama kuna jambo mwenda zake aliinusuru nchi hii ni kuitoa kwenye makucha ya mataperi wa nishati, tulikuwa tumetizamishwa kibra na wala hatukuwa na nguvu za kujinasua kupitia mahakama za kimataifa, maana tayari tulikuwa tumejinyonga kwa kamba yetu wenyewe kupitia mikataba ya kimangungo...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kafulila awalipua mawaziri akaunti ya Escrow

    Dodoma. Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila jana aliibua tuhuma nzito bungeni akiwahusisha mawaziri wawili na Sh200 bilioni zilichotwa katika Akaunti ya Escrow, iliyokuwa inamilikiwa kwa pamoja kati ya Tanesco na Kampuni ya kufua umeme ya IPTL. Katika tuhuma hizo...
Back
Top Bottom