said mohamed

Prince Said Mohamed Jaffar (Arabic: سعيد محمد جعفر), full name Said Mohamed Jaffar El Amjad, (April 14, 1918 in Comoros – October 22, 1993) was the second President of Comoros (État comorien) from 3 August 1975 until 3 January 1976, as well as chief minister of the Comoros government from July until December 1972.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    PostGE2025 Said Mohamed: CHADEMA kutoshiriki Uchaguzi Mkuu imejikwamisha kisiasa, viongozi waliokuwa na ndoto na matarajio wameondoka kwenye chama

    Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Said Issa Mohamed akiongea na Waandishi wa Habari, leo Machi 5 akizungumzia mazingira ya kisiasa nchini ameeleza kuwa kitendo cha CHADEMA kutoshiriki uchaguzi mkuu kimepelekea chama kujikwamisha, kwani ili chama...
  2. M

    Said Mohamed: Hatujaenda mahakamani kuiua CHADEMA, bali kuiimarisha ifanikiwe

    Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Said Issa Mohamed akiongea na Waandishi wa Habari, leo Machi 5 ameeleza kukishtaki chama mahakamani kwenda kukiua bali kukiimarisha ili ifanikiwe, na wanaokumbatia na kumtafuta Hamad atoe matamko ndio wana lao...
  3. M

    Said Mohamed: Kesi ya mgawanyo wa mali za chama niliyofungua ina baraka za viongozi wa CHADEMA Zanzibar

    Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Said Issa Mohamed akiongea na Waandishi wa Habari, leo Machi 5 ameeleza kuwa kesi ya mgawanyo wa mali aliyoifungua ina baraka zote za viongozi wa CHADEMA Zanzibar, kwani anachokipigania na wao ndicho wanapitia...
Back
Top Bottom