Katika karne hii ya 21 kumekuwa na manung'uniko mengi sana kuhusu changamoto zinazoikumba ndoa na malalamiko ya watu ni juu ya nini kimetokea kwenye ndoa. Mbona zama hizi ndoa zinaanguka na kuna ongezeko kubwa la madai ya talaka na kudhoofika kwa taasisi hii?
Wengi wanazungumzia sababu zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.