Ruvu Shooting Stars is a football club based in Dar es Salaam, Tanzania. They play at the Uhuru Stadium in the Tanzanian Premier League.
They primarily wear blue with yellow trim kits.
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kupigwa leo Juni 3, 2021 ambapo Ruvu Shooting wanawakabili na Simba SC kwenye uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Simba SC anaingia kwenye dimba akiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wa mkondo wa kwanza kwa bao moja kwa bila dhidi ya Ruvu...