Hawa jamaa (CCM) rushwa iko kwenye damu zao. Hii rushwa ya ndani ya chama chao ni tone kwenye ziwa Victoria....
Kwenye ushindani na vyama vingine, huko wanapora na kuiba kila kitu, wanateka, kupoteza na kuua kabisa wapinzani wao...
Tunaposema, hawajawahi kushinda uchaguzi wowote kihalali muwe...