rogath john stephen

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Melubo Letema

    Rogath John Stephen Akhwari Rais Mpya RT

    Kocha Rogath John Stephen Akhwari Ashinda urais wa shirikisho la riadha Tanzania -RT kwa kura 27 na kumbwaga mpinzani wake Nsolo Malongo Mlozi aliyepata kura 20. Mpinzani wake baada ya kushindwa aliandika hivi kwenye mitandao ya kijamii " Kura hazikutosha kushinda, nimeshika nafasi ya 2 (kura...
  2. Melubo Letema

    Mtoto wa John Stephen Akhwari ajitosa urais RT

    Mtoto wa mzalendo wa mchezo wa riadha mzee John Stephen Akhwari aitwaye Rogath John Stephen ajitosa kuwania urais wa shirikisho la riadha Taifa (RT), ni kocha wa riadha wa jeshi la polisi kwa mkoa wa Arusha. Mzee John stephen akhwari ni nani? ni yule mzalendo wa Tanzania aliyekimbia mbio za...
Back
Top Bottom