Rhoda Kunchela mwenyekiti wa Mkoa pekee mwanamke wa CHADEMA Tanzania anatoa tamko zito muda huu,
Msikilize mpaka Mwisho
https://www.youtube.com/live/A6NBwKj3O4g?si=pmrIb6j38qFb--3k
===
Baada ya ukimya wa muda mrefu hatimaye Mhe Rhoda Kunchela Mbunge pekee mstaafu wa kike wa CHADEMA aliyechaguliwa kuongoza chama ngazi ya mkoa ataongea na wanahabari kesho katika Hoteli ya Safina.
Waandishi wa habari wote mnakaribushwa
Wakuu,
Inadaiwa kuwa Jeshi la Polisi mkoani Katavi kupitia kwa Mkuu wa Upelelezi mkoani humo limemuita kwa mahojiano Mwenyekiti wa CHADEMA wa mkoa wa Katavi Rhoda leo, Jumamosi Novemba 30.2024 asubuhi
Kwa mujibu wa Rhoda mwenyewe, amedai kuwa kupitia wito huo aliopatiwa Novemba 29.2024...
Kitendo cha viongozi wa Chadema kurushiana maneno mbele ya wanachama wenu kimenishangaza sana, wakati umma ukiangalia Chadema kama chama ambacho kitaleta mabadiriko ya uongozi wanagombana hadharani bila aigu tena katika nyakati hihi za kuhamasisha Mwananchi wakajiandikishe katika taftari la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.