refa afcon tanzania morocco

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    Naipongeza sana Morocco kwa ushindi wa kishindo na nimshukuru refa kwa kuchezesha mpira kwa amani, naionya Tanzania kuto kuvuruga amani ya AFCON

    Mpira ulikuwa mzuri na ulikuwa huru na haki naipongeza sana Morocco imepata ushindi wa kishindo kutokana na jitihada kubwa pamoja na maandalizi mazuri waliyo kuwa nayo. Lakini pia nampongeza sana Refa kwa kahakikisha amani inalindwa kikamilifu wakati wote wa mchezo ingawa kuna wahuni wachache...
Back
Top Bottom