Hili redio sijaielewa pamoja na kuwa na vipindi vizuri. Cha ajabu hii redio kuna wakati haipatikani hewani hata masaa masaa mawili ukifungulia redio utasikia inafoka tu.
Kila saa nne asubuhi kuna kipindi cha "Sintosahau" lakini ndo muda hautaipata hewani.
TCRA, jumuiya za walaji na mamlaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.