Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Kenani Kihongosi ameongoza Jogging la hiari katika hafla ya ufunguzi wa Kongamano la Samia Connect ambalo linaanza katika Viwanja vya Mgambo kuzunguka baadhi ya maeneo jijini Arusha. •
Soma pia: Mchengerwa Awataka Ma RC, DC Kuongoza Jogging Kwenye Maeneo Yao
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenani Kihongosi, amepiga marufuku kutozwa fedha kwa wananchi wanaotumia vyoo vilivyopo katika eneo la mochwari ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha-Mount Meru kufuatia malalamiko ya wananchi kwamba wamekuwa wakitozwa shilingi 200 kwa kila matumizi.
Akizungumza Agosti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.