Kada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) na mdau Mkubwa wa Michezo na Maendeleo Wilayani Ileje Mkoa wa Songwe Ndg Raphael Kayuni amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Ileje mkoani Songwe kupitia Chama hicho
Kayuni amechukua fomu hiyo katika Ofisi za CCM Wilaya ya Ileje June 28 2025...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.